Dar es Salaam ina ugeni wa maktaba inayoelea majini
Wapo wanaoiita maktaba inayoelea. Maktaba hiyo ni pekee iliyowahi kuwafikia watu zaidi ya 44 milioni duniani tangu ilipoanza kuelea baharini miaka 40 iliyopita.
Hii ni meli kubwa ya kuuzia vitabu yenye jina la MV Logos Hope, ambayo kwa mara ya kwanza imetia nanga kwenye Bandari ya Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment